a
Isa 40:19
;
54:16
;
Yer 10:3-5
;
Mdo 17:29
;
Isa 41:6-7
;
40:28
Isaiah 44:12
12
a
Muhunzi huchukua kifaa
na kukifanyia kazi kwenye makaa ya moto,
hutengeneza sanamu kwa nyundo,
huifanyiza kwa nguvu za mkono wake.
Huona njaa na kupoteza nguvu zake,
asipokunywa maji huzimia.
Copyright information for
SwhNEN